![]()
KARIBU CHELS MICROFINANCE SERVICES COMPANY LIMITED
JAZA FOMU SASA! CHUKUA MKOPO WAKO
SIFA/ VIGEZO VYA MKOPAJI
Mtanzania yeyote mwenye umri wa miaka 18 na kuendelea na anayejishughulisha na shughuli au biashara halali au aliyeajiriwa na tasisi yoyote ya serikali, mashirika au binafsi.
VIWANGO VYA MKOPO
Tunatoa Mikopo kuanzia shilingi 500,000/= (Laki mbili) mpaka 100,000,000/= (Milioni Miamoja)
DHAMANA YA MKOPO
- Ardhi iliyopimwa na ile ambayo haijapimwa
- Hati ya Kiwanja iliyosajiliwa
- Gari linalomilikiwa na Mkopaji
- Kadi ya Gari iliyokatiwa Bima kubwa (Comprehensive Insurance)
- Simu (Latest Smart Phones) kwa mikopo midogo
- Kompyuta Mpakato (Laptop)
- Smart TV
- Samani ama vitu vya ndani
ANGALIZO
Dhamana ya Mkopo ni lazima iwe na thamani mara tatu ya kiasi cha Mkopo unaokopa
WADHAMINI WA MKOPO
MUME, MKE, NDUGU AU RAFIKI
Wadhamini wawe na umri wa miaka 18 au zaidi, wawe wanajishughulisha na shughuli halali na wawe na makazi ya kudumu

